Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bwana
Ramadhani Kailima akiongea na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa NEC (hawapo
pichani) leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhusu
masuala ya maadili na na ufanisi kazini kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi.
Showing posts with label Wafanyakazi wa NEC. Show all posts
Showing posts with label Wafanyakazi wa NEC. Show all posts
Wednesday, January 20, 2016
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NEC LIMEFUNGULIWA NA MWENYEKITI WA TUME HIYO JAJI DAMIAN LUBUVA
Mwenyekiti
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto)
ambaye ni mgeni rasmi wa mkutano huo, akiongea na Wajumbe wa Baraza la
Wafanyakazi wa NEC (hawapo pichani) leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini
Dar es Salaam kuhusu masuala ya maadili na na ufanisi kazini.
Subscribe to:
Posts (Atom)