Showing posts with label Wafanyakazi wa NEC. Show all posts
Showing posts with label Wafanyakazi wa NEC. Show all posts

Wednesday, January 20, 2016

MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NEC LIMEFUNGULIWA NA MWENYEKITI WA TUME HIYO JAJI DAMIAN LUBUVA

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) ambaye ni mgeni rasmi wa mkutano huo, akiongea na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa NEC (hawapo pichani) leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhusu masuala ya maadili na na ufanisi kazini.
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Bwana Ramadhani Kailima akiongea na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa NEC (hawapo pichani) leo katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam kuhusu masuala ya maadili na na ufanisi kazini kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi.