Showing posts with label Rais Joseph Kabila. Show all posts
Showing posts with label Rais Joseph Kabila. Show all posts

Tuesday, September 20, 2016

INASADIKIKA KUWA 'WATU 50 WAMEUAWA' KATIKA MAANDAMANO YA UPINZANI HUKO DR CONGO

Polisi wa kukabiliana na ghasia walitumiwa kuwatawanya waandamanaji

Image copyrightREUTERS
Image captionPolisi wa kukabiliana na ghasia walitumiwa kuwatawanya waandamanaji
Muungano mkuu wa upinzani nchini Jamhuri ya Demokrasia ya Congo unasema kuwa zaidi ya watu 50 waliuawa wakati wa mandamano ya kumpinga rais Joseph Kabila siku ya Jumatatu mjini Kinshasa.
Mmoja wa walioshuhudia anasema polisi waliwafyatulia risasi waandamanaji.

Wednesday, May 18, 2016

WANAJESHI WA DRC WANAWAUA RAIA MASHARIKI MWA NCHI HIYO

Wataalamu wa Umoja wa Mataifa katika kamati ya vikwazo vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa ripoti na kusema maafisa wa kijeshi nchini humo wanahusika na mauaji ya raia.