Showing posts with label Omary Kumbilamoto. Show all posts
Showing posts with label Omary Kumbilamoto. Show all posts

Tuesday, March 21, 2017

ILALA YAZINDUA MRADI WA MAJI WA MAMILIONI PUGU


 Naibu Meya akizindua mradi mkubwa wa kisima cha maji katika jimbo la ukonga kata ya pugu mtaa wa bombani na kigogo B ,Mradi huo wa maji umegharimu kiashi cha fedha Milioni  67.610.000 kama sehemu za juhudi za Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kwa kushirikiana na Wananchi pamoja na mfuko wa Jimbo