Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London wakati alipowasili ubalozini hapo kuzungumza na watanzania waishio nchini humo Mei 14, 2016.. Kushoto ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Msafiri Marwa.
Showing posts with label Mohamed Othman. Show all posts
Showing posts with label Mohamed Othman. Show all posts
Monday, May 16, 2016
Saturday, May 14, 2016
MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI LONDON UINGEREZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Nchi
Anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa wa Uingereza (Minister of
State for International Development) , Justine Greening katika
Mkutano kuhusu mikakati ya kupambana na rushwa uliofanyika kwenye
ukumbi wa Lancaster House, London Uingereza, May 12, 2016. Wapili
kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje , Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki,
Kikanda naKimataifa, Augustine Mahiga na watatu kushoto ni Jaji Mkuu,
Mohamed Othman.
Subscribe to:
Posts (Atom)
