Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London wakati alipowasili ubalozini hapo kuzungumza na watanzania waishio nchini humo Mei 14, 2016.. Kushoto ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Msafiri Marwa.
Showing posts with label Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga. Show all posts
Showing posts with label Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga. Show all posts
Monday, May 16, 2016
Tuesday, April 12, 2016
WAZIRI MAHIGA AKUTANA NA VIONGOZI WAKUU WA MAHAKAMA YA MICT:
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Masalia ya kesi za Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (Mechanism for International Criminal Tribunals-(MICT) inayojengwa katika eneo la Lakilaki jijini Arusha, Mhe. Theodor Meron.
Subscribe to:
Posts (Atom)
