Showing posts with label Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dr. Albina Chuwa. Show all posts
Showing posts with label Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dr. Albina Chuwa. Show all posts

Thursday, December 15, 2016

MALARIA BADO NI GONJWA LINAOENDELA KUUA WATOTO WA CHINI YA MWAKA MMOJA KWA WINGI NCHINI.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wadau mbalimbali katika uzinduzi wa Matokeo ya Utafiti wa Afya ya Mzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria wa Mwaka 2015-16 Tanzania jijini Dar es Salaam.