Kaimu Kamishna Utawala na Fedha kutoka Jeshi la Uhamiaji Bw. Abbas Irovya wa pili kutoka kushoto akiongea na wanahabari hawapo pichani kuhusu ripoti ya operesheni mbalimbali zinazoendelea kufanyika nchini kwa lengo la kudhibiti wahamiaji haramu,wa kwanza kulia ni Mkaguzi wa Uhamiaji Bw. Leslie James Mbotta na wa kwanza kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Jeshi hilo Bi. Rosemary Mkandala.(Picha na Benjamin Sawe- Maelezo).
