Showing posts with label Kitilya. Show all posts
Showing posts with label Kitilya. Show all posts

Tuesday, May 31, 2016

DPP AFUATILIA KITILYA NA WENZAKE KATIKA MAHAKAMA YA RUFANI

Mkurugenzi wa mashtaka Tanzania DPP Biswalo Mganga amemfuata Kitilya na wenzake katika mahakama ya Rufani ambapo ameongoza jopo la mawakili watano kutoka Jamuhuri na kuiomba mahakama ya rufani kutengua uamuzi  uliotolewa na mahakama kuu na iamuru mahakama kuu kusikiliza rufani hiyo.
Rufaa hiyo imesikilizwa na mahakama ya rufani Tanzania  mbele ya majaji wa tatu  Salim Masati,Agustin Mwarinja  na Musa kipenga,ambapo wamesikiliza hoja za pande zote mbili pasipo kutoa maamuzi .