Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia)
akizungumza na Kamishna wa Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga,
wakati Kamishna huyo alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam
leo, kwa lengo la kujadili masuala mbalimbali ya kupambana na dawa za
kulenya nchini. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.