Showing posts with label Kamanda wa polisi mkoani Arusha Naibu Kamishna wa polisi Charles Mkumbo. Show all posts
Showing posts with label Kamanda wa polisi mkoani Arusha Naibu Kamishna wa polisi Charles Mkumbo. Show all posts

Thursday, January 26, 2017

ASKARI WA SUMA JKT WATIWA MBARONI KWA KUUA WAFUGAJI WANNE NA KUJERUHI WATANO HUKO OLDONYOSAMBU MKOANI ARUSHA

Jeshi la polisi mkoa wa Arusha, linawashikilia Askari wanne wa SUMA JKT kwa tuhuma za kuhusika kuwaua wafugaji wanne kwa kuwapiga risasi na kuwajeruhi wengine watano kwenye vurugu zilizotokea eneo la Oldobnyo Sambu wilayani Arumeru.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo, alisema chanzo cha mauaji hayo ni wafugaji wa kimaasai kuwavamia askari hao ambao walikuwa wamekamata ng’ombe ambao waliingizwa ndani ya msitu wa hifadhi ambao ni wa serikali, kwa ajili ya malisho, kutokana na ukosefu wa malisho.

Friday, January 13, 2017

JESHI LA POLISI LATEKETEZA MAGUNIA 58 YA BANGI HUKO MKOANI ARUSHA,

kamanda wa polisi mkoani Arusha Naibu Kamishna wa polisi Charles Mkumbo akiongea na waandishi wa habari leo juu ya uteketezaji wa magunia ya bangi ,pembeni ni mkuu wa kitengo cha kupambana na kuzuia madawa ya kulevya nchini kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP) Mihayo Msikhela