kamanda wa polisi mkoani Arusha Naibu Kamishna wa polisi Charles Mkumbo akiongea na waandishi wa habari leo juu ya uteketezaji wa magunia ya bangi ,pembeni ni mkuu wa kitengo cha kupambana na kuzuia madawa ya kulevya nchini kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP) Mihayo Msikhela
