Showing posts with label Josephat Gwajima. Show all posts
Showing posts with label Josephat Gwajima. Show all posts

Wednesday, June 22, 2016

ASKOFU GWAJIMA AENDELEA KUSAKWA


Siku moja baada ya wakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala kuwaandikia barua Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amesema hawafanyi kazi kwa kufuata barua ya askofu huyo. 

Sirro alithibitisha kupata barua hiyo, lakini akasema kuwa wanaendelea kumtafuta popote pale alipo na wakifahamu watamtia nguvuni.