Showing posts with label Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Show all posts
Showing posts with label Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Show all posts

Thursday, February 16, 2017

PROF. MBARAWA: UWANJA WA NDEGE WA MTWARA UJENZI MWEZI JULAI

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (katikati), akipata taarifa ya maendeleo ya Uwanja wa Ndege wa Mtwara kutoka kwa Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), mkoani humo, Bi. Zitta Majinge (kulia), mara baada ya kuwasili leo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Bw. Evod Mmanda.