Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akikagua bomba la DAWASCO linalosambaza Maji ya Ruvu Juu iliyopo maeneo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Showing posts with label DAWASCO. Show all posts
Showing posts with label DAWASCO. Show all posts
Wednesday, February 14, 2018
Saturday, January 23, 2016
WATAALAMU DAWASCO WAKIENDELEA NA UKARABATI WA BOMBA LA MAJI MAENEO YA WAZO -TEGETA.
Kazi ya Kuunganisha Bomba la Maji kutoka mtambo wa uzalishaji wa Ruvu Chini ukiendelea katika eneo la Wazo Tegeta .
Matengenezo ya Bomba hili ndiyo yaliyopelekea kuzimwa kwa mtamb wa uzalishaji maji wa Ruvu Chini ambapo kwa muda wa saa 48 huduma ya maji itakosekana katika jiji la Dar Es Salaam na Bgamoyo.

Afisa Mtendaji mkuu wa DAWASCO Mhandisi Cyprian
Luhemeja a-kizungumza juu ya
matengemezo hayo alipotembelea katika eneo hilo kujionea shughuli
zinavyoendelea.
Thursday, January 21, 2016
SHIRIKA LA Majisafi na Majitaka Dar es salaam
(DAWASCO), imetangaza kuwapo tatizo la upatikanaji wa huduma ya Maji katika
maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa Ruvu chini ya jiji la Dar es salaam,
pamoja na baadhi ya maeneo ya mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana
na mtambo huo kuzimwa kwa wastani wa saa 48 kuanzia siku ya Jumamosi 23/01/2016
hadi Jumapili 24/01/2016.
Subscribe to:
Posts (Atom)





