Askari polisi na wasamaria wema wakisaidia kutoa maiti kutoka katika basi la Lupondije Express namba T 798 AKV kutoka Mwanza - Iringa baada ya kupinduka eneo la Mteremko wa Ipogolo mjini Iringa usiku wa leo
Gari la kikosi cha Zimamoto na uokoaji likiwa eneo la tukio kusaidia kuokoa maisha ya majeruhi
Gari la kikosi cha Zimamoto na uokoaji likiwa eneo la tukio kusaidia kuokoa maisha ya majeruhi