Showing posts with label Bi. Magdalena Chuwa. Show all posts
Showing posts with label Bi. Magdalena Chuwa. Show all posts

Friday, February 12, 2016

WATENDAJI WAKUU WA WAKALA WA VIPIMO NCHINI WASIMAMISHWA KAZI KUPISHA UCHUNGUZI WA UPOTEVU WA MAFUTA BANDARINI.

SERIKALI imeamua kuwasimamisha kazi watendaji wawili kutoka Wakala wa Vipimo nchini (WMA) kuanzia leo ili kupisha uchunguzi wa upotevu wa mafuta bandarini kutokana na zuio la kufunga kwa mita kwa zaidi ya miaka mitano.