Tuesday, February 07, 2017

WAZIRI MAHIGA APOKEA BARUA ZA MABALOZI WA CUBA,BURUNDI NA ZAMBIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi mteule wa Zambia nchini Tanzania Mhe.Benson Keith Chali alipowasili Wizarani Jijini Dar es Salaam kukabidhi nakala za hati za utambulisho
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea nakala za hati za utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Cuba nchini Tanzania Mhe.Lucas Domingo Harnandez Pelledo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea nakala za hati za utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Burundi Mhe. Gervais Abayeho alipoziwasilisha Wizarani Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment