Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akihutubia Mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati
kuhitimisha ziara ya mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017.
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa
akiwapungia wananchi wa Babati wakati alipowasili kwenye uwanja wa
Kwaraa mjini Babati kuhutubia mkutano wa hadhara, Februari 22, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akihutubia Mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati
kuhitimisha ziara ya mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wa Babati
wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa wakati alipohutubia mkutano
wa hadhara kwenye uwanja wa Kwaraa mjini Babati, Februari, 22, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya watumishi wa serikali
na Halmashauri za mkoa wa Manyara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa
Mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na watumishi wa serikali na Halmashauri za mkoa wa Manyara
kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Februari 22, 2017.
Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dkt. Joel Bendera.(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na wazee wakati alipoingia kwenye uwanja wa Kwaraa mjini
Babati, kuhutubia mkutano wa hadhara Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na wazee wakati alipoingia kwenye uwanja wa Kwaraa mjini
Babati, kuhutubia mkutano wa hadhara Februari 22, 2017. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment