Showing posts with label vikundi vya wanawake na vijana. Show all posts
Showing posts with label vikundi vya wanawake na vijana. Show all posts

Tuesday, January 03, 2017

MKUU WA MKOA WA ARUSHHA AKABIDHI MILIONI 624 VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA MKOANI ARUSHA.

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (katikati) akizungumza na vikundi vya wanawake na vijana kutoka katika Jiji la Arusha kabla ya Kukabidhi hundi za Mikopo ya robo ya kwanza na ya Pili kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.