Showing posts with label katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Wilaya ya Manyoni mkoani Singida Bw.Saimon Boniphace Mtemi. Show all posts
Showing posts with label katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Wilaya ya Manyoni mkoani Singida Bw.Saimon Boniphace Mtemi. Show all posts

Thursday, October 06, 2016

UMASKINI NI MATOKEO YA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YANAYOAMBATANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Na Barnabas Kisengi,
IMEELEZWA kuwa Matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na unyanyasaji wa kijinsia ni kichocheo cha umasikini kinacholeta migongano na udhalilishaji unaopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya Taifa .

Hayo yamebainishwa mapema  na katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Wilaya ya Manyoni mkoani Singida Bw.Saimon Boniphace Mtemi alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake.