Na Barnabas Kisengi,
IMEELEZWA
kuwa Matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na unyanyasaji wa kijinsia ni kichocheo
cha umasikini kinacholeta migongano na udhalilishaji unaopelekea kurudisha
nyuma maendeleo ya Taifa .
Hayo
yamebainishwa mapema na katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo
(CHADEMA)Wilaya ya Manyoni mkoani Singida Bw.Saimon Boniphace Mtemi alipokuwa akiongea na waandishi wa
habari ofisini kwake.