Showing posts with label ity of the Holy Cross. Show all posts
Showing posts with label ity of the Holy Cross. Show all posts

Saturday, May 14, 2016

MJADALA WA WANAWAKE MASHEMASI WARUHUSIWA NA PAPA

Papa Francis akiwa Vatican.

Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amesema ataunda tume itakayochunguza na kujadili uwezekano wa wanawake kuteuliwa kuwa mashemasi katika Kanisa hilo katika pendekezo linaloashiria uwazi wa kuruhusu wanawake kuteuliwa kuhudumu katika nafasi ambazo zimekuwa za wanaume pekee. Wazo hilo tayari limeanza kuibua hisia mbalimbali.