Showing posts with label Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. Show all posts
Showing posts with label Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. Show all posts

Wednesday, September 21, 2016

RAIS DK SHEIN ATEMBELEA ZBC TV

tv1
tv1
tv2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) akimuuliza jambo Kaimu Fundi Mkuu wa ZBC TV Nd,Mwadini Ame (kulia) wakati alipotembelea Studio ya kurikodia vipindi mbali mbali akiwa katika ziara maalum katika kituo cha kurushia matangazo ya TV Karume House leo,(wa pili kulia) Mkurugenzi wa ZBC TV Nd,Iman Duwe na (kushoto) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee, [Picha na Ikulu.] 21/09/2016.

Wednesday, April 06, 2016

DR SHEIN UZINDUZI BARAZA LA WAWAKILISHI LA 9

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid mara alipowasili katika viwanja vya jengo la Baraza hilo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo kuzinduz Baraza la 9.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya Heshma ya gwaride la kikosi cha FFU wakati wa Uzinduzi wa Baraza la 9 la Baraza la Wawakilishi  liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la  kikosi cha FFU akiongozwa na Kamanda wa FFU Mjini Magharibi S.S.P Anani wakati wa Uzinduzi wa Baraza la 9 la Baraza la Wawakilishi  liliopo Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.

Thursday, March 24, 2016

SHEREHE YA KUAPISHWA RAIS MTEULE WA ZANZIBAR

Viongozi wa Dini na Vikosi vya Ulinzi wakifuatana kuelekea katika jukwa maalum la kuapishwa Rais Mteule wa Zanzibar katika uwanja wa Amaan Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
OT2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya heshma kwa Vikozi vya Ulinzi na Usalama baada ya kuapishwa Rasmi katika wamu ya pili ya Uongozi wa awamu ya 7 leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]