Showing posts with label Mkuu wa Idara ya Upasuaji. Show all posts
Showing posts with label Mkuu wa Idara ya Upasuaji. Show all posts

Tuesday, July 05, 2016

BALOZI WA KOREA ATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMIBILI NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WA HOSPITALI HIYO PROFESA MUSERU

Balozi wa Korea, Song, Geum-young akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Museru baada ya balozi huyo kumtembelea mkurugenzi huyo LEO. Mazungumzo hayo yalihusu maendeleo ya hispitali hiyo.Picha na John Stephen, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)