Showing posts with label Michael Lugendo. Show all posts
Showing posts with label Michael Lugendo. Show all posts

Friday, January 15, 2016

WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI WANATARAJIA KUFANYA UZINDUZI WA STIKA MAALUM JANUARI 26,

Na Nyakongo Manyama-MAELEZO
TAASISI ya  watu wenye ulemavu wa ngozi mkoa wa Dar es salaam inatarajia kufanya uzinduzi wa  ‘stika’ maalum yenye ujumbe wa kutokomeza mauaji ya watu wenye albinism utakaofanyika januari 26 mwaka huu.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa taasisi hiyo Bw. Michael Lugendo amesema kuwa uzinduzi huo utafanyika katika kituo cha polisi kati jijini Dar es Salaam kuanzia saa tano asubuhi.