Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Mh.Paulo Makonda leo amezungumza na waandishi wa habari kwa awamu ya
pili akitaja orodha ya jumla ya watuhumiwa 65 ambao wanafanya biashara
ya madawa ya kulevya huku List hiyo amewataja baadhi ya watu maarufu
hapa nchini akiwemo Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Yusuf Manji,