Showing posts with label Mahabusu. Show all posts
Showing posts with label Mahabusu. Show all posts

Wednesday, January 13, 2016

MAHABUSU YA WATOTO JIJINI DAR ES SALAAM YAPEWA VITU MBALIMBALI NA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA

 Afisa Mfawidhi wa Mahabusu ya Watoto ya jijini Dar es salaam Bw. Ramadhan Yahaya (kulia) akipakua msaada wa vyakula na vitu mbalimbali vilivyotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Anayeshuhudia kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mahakama Kuu ya Tanzania Bw. Nurdin Ndimbe
 Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mahakama Kuu ya Tanzania Bw.