Afisa Mfawidhi wa Mahabusu ya Watoto ya jijini Dar es salaam Bw.
Ramadhan Yahaya (kulia) akipakua msaada wa vyakula na vitu mbalimbali
vilivyotolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania leo jijini Dar es salaam.
Anayeshuhudia kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mahakama Kuu
ya Tanzania Bw. Nurdin Ndimbe
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Mahakama Kuu ya Tanzania Bw.

