Showing posts with label Kisari Matiku Makori. Show all posts
Showing posts with label Kisari Matiku Makori. Show all posts

Friday, December 23, 2016

MKUU WA WILAYA YA UBUNGO ALAKIAPO LEO JIJINI DAR ES ESALAAM,

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akimwapicha Mkuu wa Wilaya ya Ubungo,Kisari Matiku Makori kufuatia uteuzi uliofanywa na Rais Magufuli kwa Wakuu wa Wilaya hivi karibuni. Leo jijini Dar es Salaam.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.