Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni(kulia), akimsikiliza Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje Jamhuri ya Czech, Ivan Jancarek wakati wa mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano katika masuala ya usalama kupitia njia za mafunzo, teknolojia na mbinu za kukabiliana na uhalifu.Mazungumzo yalifanyika ofisini kwa naibu waziri,jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje Jamhuri ya Czech, Ivan Jancarek wakati wa mazungumzo yaliyohusu kuimarisha uhusiano katika masuala ya usalama kupitia njia za mafunzo, teknolojia na mbinu za kukabiliana na uhalifu.Mazungumzo yalifanyika ofisini kwa naibu waziri,jijini Dar es Salaam.
