Showing posts with label Isaack Habakuki. Show all posts
Showing posts with label Isaack Habakuki. Show all posts

Friday, June 10, 2016

WADAU MBALIMBALI MKOANI ARUSHA WAJITOKEZA KUCHANGIA ISAACK HABAKUKI KUSAIDIA KULIPA FAINI:

Vijana, wadau na wanaharakati wamefungua vikundi vya mtandao wa kijamii kwa ajili ya kuchanga fedha za kumsaidia kijana wa Arusha aliyepatikana na hatia ya kumtukana Rais na kuhukumiwa faini ya Sh7 milioni au kifungo.