Showing posts with label Haroun Ali Suleiman. Show all posts
Showing posts with label Haroun Ali Suleiman. Show all posts

Tuesday, July 26, 2016

RAIS DK.SHEIN AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUWA LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Said Bakar Jecha kuwa Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma,katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar .