Showing posts with label Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo. Show all posts
Showing posts with label Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo. Show all posts

Tuesday, July 26, 2016

GESI YA MAJUMBANI KUAGIZWA KWA PAMOJA.


Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Dkt. Mhandisi Juliana Pallangyo wa pili kutoka kulia akiwa na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) Michael Mjinja wa nne kutoka kulia pamoja na wadau wa gesi ya mitungi inayotumika majumbani (LPG) kutoka nchi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Tatu wa Afrika 2016 kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.