Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) (hawapo pichani), kuhusu mkakati mpya wa Mamlaka hiyo wa kufanya kazi kwa ubunifu na uadilifu ili kuongeza mapato.