Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe akizungumza na viongozi wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya mkoani Geita (GGM) pamoja na Viongozi wa Serikali wa mkoa huo, kuhusiana na masuala mbalimbali ya utatuaji wa migogoro iliyopo kati ya GGM na wananchi wanaoishi jirani na mgodi huo. Waziri Mwakyembe aliambatana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, katika ziara hiyo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Showing posts with label Dk Harrison Mwakyembe. Show all posts
Showing posts with label Dk Harrison Mwakyembe. Show all posts
Thursday, July 14, 2016
Friday, April 29, 2016
SERIKALI KUWASILISHA MSWADA WA SHERIA YA NDOA:
Serikali imejiandaa kuleta Muswada wa Sheria bungeni kutoa haki ya kusoma kwa watoto wote wa kike na kiume wa shule za msingi, sekondari na kutoruhusiwa kuoa au kuolewa.
Subscribe to:
Posts (Atom)
