Katikati Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na
Mazingira Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb.) akiongea na baadhi ya wananchi wa
mtaa wa Mivinjeni Buguruni Sukita Alipowatembelea kufuatia kero ya
utiririshwaji wa maji yanayosadikiwa kuwa na kemikali kutoka katika baadhi ya viwanda maji
yanayotumiwa na wakazi wa maeneo hayo kwa kumwagilia bustani za mboga mbonga. Kutoka
kulia kwake ni Naibu Meya wa wa Manispaa
ya Ilala Bw. Omary Kumbilamoto, Afisa Mazingira Ilala Bw. Adon Mapunda na
Diwani wa kata ya Buguruni Bw. Adam Fugane.