Showing posts with label Bw. Chimgege. Show all posts
Showing posts with label Bw. Chimgege. Show all posts

Monday, July 10, 2017

KIWANDA CHA MCHINA CHAFUNGIWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

 Katikati Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Joelson Mpina (Mb.) akiongea na baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mivinjeni Buguruni Sukita Alipowatembelea kufuatia kero ya utiririshwaji wa maji yanayosadikiwa kuwa na  kemikali kutoka katika baadhi ya viwanda maji yanayotumiwa na wakazi wa maeneo hayo kwa kumwagilia bustani za mboga mbonga. Kutoka kulia kwake ni Naibu Meya wa  wa Manispaa ya Ilala Bw. Omary Kumbilamoto, Afisa Mazingira Ilala Bw. Adon Mapunda na Diwani wa kata ya Buguruni Bw. Adam Fugane.