Showing posts with label Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Show all posts
Showing posts with label Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB). Show all posts

Thursday, January 05, 2017

WANUFAIKA 45,00 WAJITOKEZA KUREJESHA MIKOPO YAO BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU HESLB

Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imesema imeanza kupokea malipo kutoka kwa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu wa miaka ya nyuma.
Wadaiwa hao wameibuka ikiwa ni siku saba tu, tangu bodi hiyo itangaze kiama kwa wadaiwa wote sugu wa walionufaika na mikopo ya bodi hiyo, ikiwa ni pamoja na kuanza kuchapisha majina na picha za wadaiwa hao kwenye vyombo vya habari, sambamba na kuunda tume ya kuwasaka wadai hao.

Friday, October 21, 2016

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli amesema Serikali imetenga Shilingi Bilioni 483 kwa mwaka huu kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu ambapo wanafunzi zaidi ya 118,000 watanufaika.