Showing posts with label Bi. Juliet Kairuki. Show all posts
Showing posts with label Bi. Juliet Kairuki. Show all posts

Thursday, April 28, 2016

RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MTENDAJI TIC


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi. Juliet Kairuki kuanzia tarehe 24 Aprili mwaka huu.