Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts
Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts

Tuesday, April 12, 2016

MAKONGORO NYERERE AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO AFRIKA MASHARIKI


 Mwenyekiti wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (Katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu program ya bunge hilo ya kuhamasisha wananchi kuhusu mtangamano wa jumuiya hiyo ili kupata fursa mbalimbali, kulia ni mbunge wa bunge hilo Mhe. Abdulah Mwinyi na kushoto ni Mhe. Shyrose Bhanji.