Mwenyekiti wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (Katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu program ya bunge hilo ya kuhamasisha wananchi kuhusu mtangamano wa jumuiya hiyo ili kupata fursa mbalimbali, kulia ni mbunge wa bunge hilo Mhe. Abdulah Mwinyi na kushoto ni Mhe. Shyrose Bhanji.
Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts
Showing posts with label Afrika Mashariki. Show all posts
Tuesday, April 12, 2016
MAKONGORO NYERERE AWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO AFRIKA MASHARIKI
Mwenyekiti wa wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Makongoro Nyerere (Katikati) akielezea kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu program ya bunge hilo ya kuhamasisha wananchi kuhusu mtangamano wa jumuiya hiyo ili kupata fursa mbalimbali, kulia ni mbunge wa bunge hilo Mhe. Abdulah Mwinyi na kushoto ni Mhe. Shyrose Bhanji.
Subscribe to:
Posts (Atom)
