Afisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Mheshimiwa Mbuso Dlamini (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa chombo kipya cha mpango wa mkopo iitwayo 'Executive Loan' ambayo iliyoundwa kwa lengo la kurahisisha huduma za kifedha na kulia ni Meneja Mauzo wa taasisi Nchini, Elisha Tengeni.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Faidika, Mheshimiwa Mbuso Dlamini (kulia) akizindua
mpango mpya wa mkopo iitwayo 'Executive Loan'

