Showing posts with label nchini Kenya.. Show all posts
Showing posts with label nchini Kenya.. Show all posts

Friday, May 06, 2016

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE, (JNIA), WAPATA SHIRIKA LINGINE LA NDEGE, NI MAURITIUS AIRLINES

 Mfanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini, TAA, akiielekeza ndege ya Shirika la
Ndege Mauritius Airlines, kuegesha kwenye daraja la kushukia abiria (Bridge),
kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, Mei
6, 2016. Ndege hiyo aina ya Airbus 319 yenye uwezo wa kubeba abiria 130, imetua
kwa mara ya kwanza na itakuwa ikifanya safari zake kila Ijumaa ikiruka moja kwa
moja kutoka Mauritius kuja Dar es Salaam kasha Nairobi, nchini Kenya.