Showing posts with label
mwanafuzi wa darasa la awali shule ya SUN Academy.
Show all posts
Showing posts with label
mwanafuzi wa darasa la awali shule ya SUN Academy.
Show all posts

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inakemea vikali tukio la kubakwa kwa binti wa miaka saba (jina limehifadhiwa) mkazi wa kata ay Kitanzini, mwanafuzi wa darasa la awali shule ya SUN Academy iliyoko kata ya Kwakilosa, manispaa ya Iringa.