Showing posts with label Wizara ya Ujenzi. Show all posts
Showing posts with label Wizara ya Ujenzi. Show all posts
Tuesday, May 10, 2016
Friday, January 29, 2016
WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO PROFESA MAKAME MBARAWA AKAGUA ATHARI ZA BARABARA MORO – DODOMA.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro Eng. Dorothy
Ntenga akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame
Mbarawa namna maji yanavyopiga kingo za daraja la Dumila wakati Waziri huyo
akikagua ujenzi wa kingo mpya zinazojengwa kudhibiti mafuriko hayo.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Dodoma Eng. Leornad
Chimagu (kulia),akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Profesa Makame Mbarawa kuhusu athari za mafuriko katika kingo za barabara ya
Gairo-Dodoma eneo la Kibaigwa mkoani Dodoma.
Subscribe to:
Posts (Atom)


