Waziri mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE, Edwin Rutageruka wakati alipotembelea abanda la maonyesho la TANTRADE kabla ya kufungua Mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) kwetuo cha Mikutano cha Dodoma Aprili 8, 2016.
Wasanii wa kikundi cha Nyota cha Dodoma wakitumbuiza katika Mkutano Mkuu Malum wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma mjini Dodoma Aprili 8,2016.