Showing posts with label Simon Mwakifamba. Show all posts
Showing posts with label Simon Mwakifamba. Show all posts

Tuesday, July 19, 2016

TAFF YAIPONGEZA SERIKALI KWA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA UHARAMIA WA KAZI ZA SANAA NCHINI

 Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF),Simon Mwakifamba,akizungumza na waandishi wa habari,Dar es Salaam, kuhusu kuipongeza serikali kupitia wizara husika katika kuanzisha oparesheni ya kuwakamata walanguzi wa kazi za wasanii nchini. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Wasambazaji wa Filamu nchini,Moses Mwanyilu.