Rais
wa Benki ya Dunia (WB) Dkt. Jim Yong Kim (wa pili) na Waziri wa Fedha
na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) (wa pili kushoto), wakitoka
katika eneo la kupumnzikia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere. Waziri Mpango amemuaga Rais huyo baada ya kuwepo nchini kwa
takribani siku tatu.