Showing posts with label Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu. Show all posts
Showing posts with label Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu. Show all posts

Thursday, April 06, 2017

SPIKA AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA WA TANGANYIKA (TLS) MJINI DODOMA

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Mhe.Tundu Lissu  walipofika na Ujumbe kutoka TLS kumtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma.