Showing posts with label Rais Barrack Obama. Show all posts
Showing posts with label Rais Barrack Obama. Show all posts

Monday, July 18, 2016

HUKO MAREKANI RAIA MWEUSI AWAUWA POLISI WATATU MAREKANI:

Image copyrightAFP
Image captionRais Barrack Obama wa Marekani amewasihi wamerakani wajizue dhidi ya hisia kali baada ya Mmarekani Mweusi kuwapiga risasi na kuwaua maafisa watatu wa polisi katika shambulizi la pili la kulipiza kisasi
Rais Barrack Obama wa Marekani amewasihi wamerakani wajizue dhidi ya hisia kali baada ya Mmarekani Mweusi kuwapiga risasi na kuwaua maafisa watatu wa polisi katika shambulizi la pili la kulipiza kisasi dhidi ya polisi wazungu wanaowaua wamarekani weusi.