Showing posts with label Prof. Joyce Ndalichako. Show all posts
Showing posts with label Prof. Joyce Ndalichako. Show all posts

Friday, May 27, 2016

NECTA SASA KUFUNGA MITIHANI KWA KUTUMIA MASHINE.




























Na Fatma Salum-MAELEZO, Dodoma.

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limejipanga kuanza kufunga bahasha zenye karatasi za mitihani kwa kutumia mashine maalum ili kuondokana na hatari ya kuvuja kwa mitihani hiyo na gharama za ufungaji wa mitihani kwa kutumia mikono.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2016/2017, jana Bungeni Mjini Dodoma.

Thursday, May 26, 2016

MATUKIO YA BUNGEMJINI DODOMA 26/5/2016.

Kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kikiendelea leo mjini Dodoma.
BU2Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Tulia Ackson akifuatilia kwa makini michango ya wabunge wakati wa kipindi cha Maswali na Majibu ndani ya Bunge mjini Dodoma.