Showing posts with label Mh. Dk. Jakaya Kikwete. Show all posts
Showing posts with label Mh. Dk. Jakaya Kikwete. Show all posts

Thursday, July 21, 2016

MWENYEKITI WA CCM DK. JAKAYA KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DODOMA LEO

Rais Dk. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Mh. Dk. Jakaya Kikwete wakati akifungua kikao cha Kamati Kuu ya ya Halmashauri kuu ya  CCM kilichofanyika leo Makao Mkuu ya CCM Dodoma kupendekeza jina la Mwenyekiti mpya wa CCM ambapo jina hilo litapelekwa kwenye Halmashauri Kuu ya Taifa kwa ajili kupelekwa kwenye mkutano mkuu   na kuthibitishwa katika Mkutano Mkuu maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika Julai 23 mwaka huu mjini Dodoma, Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.