Showing posts with label MSETO. Show all posts
Showing posts with label MSETO. Show all posts

Thursday, August 11, 2016

GAZETI LA MSETO LAFUNGIWA KWA MIEZI 36


Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kulifungia kwa miezi 36  gazeti la “MSETO”. Amri ya kulifungia  Gazeti hilo imetolewa kwa Tangazo la Serikali Na. 242 lililotolewa tarehe 10 Agosti, 2016. Uamuzi huo umetolewa kwa mujibu wa Sheria ya Magazeti ya Mwaka 1976 Sura ya 229, kifungu 25(1).