Showing posts with label Loutfi Soulaimane. Show all posts
Showing posts with label Loutfi Soulaimane. Show all posts

Friday, May 27, 2016

SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MPYA WA COMORO.

Rais Mpya wa Muungano wa Comoro Mhe, Kanali Azali Assoumani Boinakheri akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi Comoro mara baada ya kuapishwa leo kwa kushinda uchaguzi mkuu wa April 10 na uchaguzi wa Marudio wa Mei 11 mwaka huu hafla ilifanyika  uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro